Pages

Tarumbeta Banner

Friday, August 3, 2012

Bongo talents alive ndani ya Bukoba

Bongo Talents Alive (BTA) Wakiwa kwenye pozi
Sasa, YODENET kupitia seckta yake ya burudani (Tarumbeta) kwa lengo la kuinua, kuboresha na kuendeleza vipaji vya watanzania inakuletea kundi la muungano wa vipaji liitwalo BONGO TALENTS ALIVE (BTA) na kwa kuanzia tayari kundi hilo linahusisha Model na Dancers mkoani Kagera manispaa ya Bukoba!!